Former gospel artist turn clout chaser Weezdom has accused Eric Omondi of lying to Kenyans that he had cleared Miracle Baby's medical bill after his hospital stay.

In a rant filed post on his Instagram page, weezdom accused Eric of only paying a fraction of the bill and claimed that he would pay the rest when he returned to the hospital; he alleges that Eric told people to stop contributing since they had attained their target.

PHOTO | COURTESY Weezdom

"Bro @ericomondi Sijui ni Siasa Ya Aina Gani Unapiga Lakini For Hii Story ya PETER MIRACLE BABY Naijua Vizuri Sana So Sitaacha Udanganye watu ukijitaftia tupoints wakati msee anaumia akiwa msick! THIS_IS_THE_TRUTH - Miracle Baby Has Been Sick Na Alikuwa Hospitali Before baadae akatoka,Bill ilikuwa Over 1million..Eric Omondi Akatokea Awasaidie thru' ile kuchangisha yake ya online "Sisi kwa Sisi"... People Contributed Na Erico Akasema Pesa imetolewa imetosha 1m only to go to the hospital with 300k Akasema hizo zingine ataleta hakuwahi Rudi!!! " he posted.

"After He had already announced that pesa imetosha,watu walijua Peter amesaidika so hawangeendelea kutoa..Peter Alihave Kurudishwa Home..Now he's saying Peter Ako kwa Nyumba Ata Hana Habari ya Kwamba Waziri Jaguar Hio Siku Alimpeleka Hospitali Yuko Admitted Kenyatta Private Wing Everything Fully Paid!Erico Hauna Habari Kwamba Ata Kabla ukuje na "Sisi kwa Sisi"," he added.

PHOTO | COURTESY Miracle baby at the hospital

Weezdom added that the ksh300k Eric claims was a gift to the miracle baby is actually the money given to the musician by President Ruto and was delivered by Jaguar, Itumbi, and Karangu. he asked Eric Omondi to campaign without using Miracle Baby for clout.

"Hio 300k Unasema Ya Juzi Sio Gift ni DOH Rais Alipeana ya food na rent ishikilie Wife na mtoi for the time being🙏 Next Time Erico Kuwa M'Real.Kama Kuna Kiti Unataka 2027,uza Sera Acha Vipindireeee Brathe." he said