July 7 marks the day Diamond Platnumz's mother celebrates her birthday.

The WCB boss adores his mother and always goes out to make sure she turns a year older in style.

He does not spare a dime for Mama Dangote and for this year, he has announced big plans for her.

The Yatapita singer said on his Instagram stories that he would resume his musical career in tribute to his mother.

August ni mwezi wa kuzaliwa kwa mama yangu..na kaunzia mwezi huo itaazna rasmi mvua ya mawe!The phrase "zangu collabo na nje za ndani" "Wasafi na nianao waheshimiana nao!," Diamond exclaimed to his 16 million fans. "na nitahudumu hapo kwa no 1 on Tredn kuanzia July 2023 hadi january 2024."


The partnerships he has done with other worldwide stars will also be made public.

 He wasn't afraid to say that he was being compared to other musicians who weren't in his league.

"Wakati naanza movements za kutoka nje ya East Africa wengi mlichellewa kunielewa na mkaanza kusema "oh naimba ujinga" na kashfa kibao mkaanza kuwapa vichwa wasanii wasio level yangu washindane nami..kuja kushtuka mawaletea matuzo ya kimatafia na kujaza viwanja kweney mataifa ambayo mlizoea kuyasoma kwenye geography ...huku wasanii wenu wakiwa wanasubiri matamasha ya redio!" he captioned

It appears Diamond has his ears to the street and he is also making sure to react to those social media murmurs.


"Hivyo kama mlivyokaa kwa kutulia wakati natega mabomu yangu ya kutoka nje ya East Africa, naomba pia mkae kwa kutulia vivo hivyo mnapoanza mashambulizi yangu...sitaki maoni wala ushauli ushuzi ushauli pelekeni angaza!..kama washauli wazuri wakati nilivyokua kimya nikideal na media mgewashauri hao wasanii wenu mnaowashindanisha ili wayafanye ata robo ya nlichokua nafanya kwenye matuzo, majukwa kupunguza hizi dharau za winigeria leo...lakini wote viliwashinda ...asa wanaume tunao yaweza tunapoanza tunaomba mtulize K!"


Na pia mashambulizi haimanishi eti ndio kupuuza kabisa kufanya ngoma na rafiki zangu tokea Tanzania ama East Africa, nazo zina umuhimu wake kwa waswahili wenzangu especially msimu kama huu wa wasafi festival unavyokuja hivyo tegemeeni pia kumwagika nyingi tu za kutosha matter fact naweza ata zianzisha"